Welcome

    Featured Posts

    BURUDANIKA BLOG - KWA MICHEZO NA BURUDANI ZOTE

    .

Loading...

BEKI WA NIGERIA AANGUKA NA KUPOTEZA MAISHA UWANJANI

 Beki wa Nigeria,DAFaramola Oniya ameanguka Ghafla na Kufariki dunia Uwanjani.

Oniya aliyekuwa anaichezea T Team iliyokuwa ikipiga mechi ya kirafiki dhidi ya Kelantan alianguka na kufariki Dunia.
 
Mnigeria huyo aliyekuwa na miaka 30 alianza mechi hiyo akionekanani mwenye afya njema kabisa.

Licha ya kukimbizwa hospitali akiwa ni juhudi za kumuokoa,Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa T Team,Syahrizan Mohd Zain alisema walielezwa alishapoteza maisha licha ya madaktari kuwa tayari kumsaidia
 
© Copyright BURUDANIKA BLOG
Back To Top