Welcome

    Featured Posts

    BURUDANIKA BLOG - KWA MICHEZO NA BURUDANI ZOTE

    .

Loading...

LUCY KOMBA: NAMIMI NAKUJA KUGOMBEA UBUNGE SONGEA

Staa wa Bongo Movies, Lucy Komba ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni ameonesha nia yake ya kurudi ya kuja kuwania ubunge. Lucy ameyaseme hayo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram ambapo alianza kwa kuwapongeza wasanii wenzake wote walioamua kujikita kwenye siasa.
“Msiseme wanawake tu semeni pia na wasanii tunaweza, hongereni wote wasanii mlioamua kujikita kwenye siasa na mimi nakuja huko kuchukua ubunge wa kwetu Songea”- Lucy ameandika.
Kila la kheri Lucy
© Copyright BURUDANIKA BLOG
Back To Top