Wachezaji wa Yanga wakiwa wameshika zawadi walizopewa na tawi la Facebook lenye makazi yake Buguruni jijini Dar es Salaam, baada ya kukabidhiwa kama shukurani kwa kushika nafasi ya pili kwenye msimu uliopita wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam
Wachezaji wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tawi la Facebook
Mwenyekiti wa Tawi la Facebok Josephat Sinzobakwilaakiongea na wachezaji na benchi la ufundi la Yanga
Kocha wa Yanga, Pluijn akikabidhiwa zawadi yake na mlezi wa Tawi la Facebook, Ziota Musisa (kushoto).